
MFALME Charles III wa Uingereza (wa pili kushoto) na mke wake, Malkia Camilla wapo nchini Kenya tangu jana Oktoba 31, 2023 kwa ziara ya siku nne. Walipokewa na wenyeji wao, Rais William Ruto (wa pili kulia) na mke wake, Rachel.
Mkuu wa Wilaya ya Tarime, Meja Edward Gowele, akikabidhi kikombe cha ushindi kwa mwakilishi wa timu husika, wakati wa kilele cha mashindano ...
No comments:
Post a Comment