Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan (kushoto), akikabidhi ufunguo wa mfano kwa Mama Janeth Magufuli, mjane wa Hayati Dkt John Pombe Magufuli aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, ikiwa ni ishara ya kukabidhi nyumba mpya ya kuishi kwa familia ya Dkt Magufuli, jijinii Dar es Salaam jana. Nyumba hiyo imejengwa na Serikali kwa mujibu wa sheria.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan (kushoto), akikabidhi ufunguo wa mfano kwa Mama Janeth Magufuli, mjane wa Hayati Dkt John Pombe Magufuli aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, ikiwa ni ishara ya kukabidhi nyumba mpya ya kuishi kwa familia ya Dkt Magufuli, jijinii Dar es Salaam jana. Nyumba hiyo imejengwa na Serikali kwa mujibu wa sheria.
No comments:
Post a Comment