NEWS

Tuesday 28 May 2024

Wabunge wa mkoani Mara watembelea banda la maonesho Wizara ya Ujenzi Bungeni Dodoma, Eng Maribe wa TANROADS awapa zawadi



Mbunge wa Viti Maalum, Esther Matiko akipokea zawadi kutoka kwa Meneja wa TANROADS Mkoa wa Mara, Mhandisi Vedastus Maribe, wakati alipotembelea banda la maonesho ya Wizara ya Ujenzi kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma jana Jumatatu.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages