
Mbunge wa Viti Maalum, Esther Matiko akipokea zawadi kutoka kwa Meneja wa TANROADS Mkoa wa Mara, Mhandisi Vedastus Maribe, wakati alipotembelea banda la maonesho ya Wizara ya Ujenzi kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma jana Jumatatu.
Mkuu wa Mkoa wa Mara, Kanali Evans Mtambi, akikata utepe kuashiria uzinduzi wa kuanza kutumika kwa magari mapya aliyopokea leo kutoka serika...
No comments:
Post a Comment