
Mbunge wa Viti Maalum, Esther Matiko akipokea zawadi kutoka kwa Meneja wa TANROADS Mkoa wa Mara, Mhandisi Vedastus Maribe, wakati alipotembelea banda la maonesho ya Wizara ya Ujenzi kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma jana Jumatatu.
Mkuu wa Wilaya ya Serengeti, Angelina Marco Lubela (aliyevaa kitambaa cha njano kichwani), akiwa kwenye mstari kuelekea kupiga kura wilayan...
No comments:
Post a Comment