
Mbunge wa Viti Maalum, Esther Matiko akipokea zawadi kutoka kwa Meneja wa TANROADS Mkoa wa Mara, Mhandisi Vedastus Maribe, wakati alipotembelea banda la maonesho ya Wizara ya Ujenzi kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma jana Jumatatu.
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Simon Kemori Chacha (katikati), leo Julai 1, amerejesha kwenye Ofisi ya CCM Wilaya ya Tarime fomu ya kuom...
No comments:
Post a Comment