
Mbunge wa Viti Maalum, Esther Matiko akipokea zawadi kutoka kwa Meneja wa TANROADS Mkoa wa Mara, Mhandisi Vedastus Maribe, wakati alipotembelea banda la maonesho ya Wizara ya Ujenzi kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma jana Jumatatu.
Mwenyekiti wa MRPC, Mugini Jacob, akifungua Mkutano Mkuu Maalum wa klabu hiyo kwenye Hoteli ya Goldland mjini Tarime, Mara jana Septemba 16,...
No comments:
Post a Comment