![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi4ypUs1s1eIfKYHxFsZg4cNSSA_pe2h-pk8f5UemnbIKmMH21UFUxHCcFslv8zWiQYlEsq37A_XcTwSj6yXFnIrXynBv5rg-ZuixrsIwdEd7RN6muab5eRRm-T9ZjinI8LtNaDxh090sV0KvQwvCfBN9aoDK2aeFdcMGchGKLwhxss19RZI-euDVzMmG8/w486-h640-rw/maribe.jpg)
Mbunge wa Viti Maalum, Esther Matiko akipokea zawadi kutoka kwa Meneja wa TANROADS Mkoa wa Mara, Mhandisi Vedastus Maribe, wakati alipotembelea banda la maonesho ya Wizara ya Ujenzi kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma jana Jumatatu.
Katibu Tawala wa Wilaya ya Tarime, Mwalimu Saul Mwaisenye (kulia) akipokea Mwenge wa Uhuru kutoka kwa Katibu Tawala wa Wilaya ya Serengeti, ...
No comments:
Post a Comment