
Mbunge wa Viti Maalum, Esther Matiko akipokea zawadi kutoka kwa Meneja wa TANROADS Mkoa wa Mara, Mhandisi Vedastus Maribe, wakati alipotembelea banda la maonesho ya Wizara ya Ujenzi kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma jana Jumatatu.
Simba ndani ya NCAA Na Mwandishi Wetu Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro (NCAA) mkoani Arusha imesema simba 10 wameuawa katika eneo la...
No comments:
Post a Comment