
Mbunge wa Viti Maalum, Esther Matiko akipokea zawadi kutoka kwa Meneja wa TANROADS Mkoa wa Mara, Mhandisi Vedastus Maribe, wakati alipotembelea banda la maonesho ya Wizara ya Ujenzi kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma jana Jumatatu.
William Lukuvi enzi za uhai Na Mwandishi Wetu Mmoja wa mawaziri waandamizi katika Serikali ya Tanzania, William Vangimembe Lukuvi, amefariki...
No comments:
Post a Comment