
Mbunge wa Viti Maalum, Esther Matiko akipokea zawadi kutoka kwa Meneja wa TANROADS Mkoa wa Mara, Mhandisi Vedastus Maribe, wakati alipotembelea banda la maonesho ya Wizara ya Ujenzi kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma jana Jumatatu.
Maafisa wa TRA Mkoa wa Mara wakijitambulisha kwa Mkuu wa Wilaya ya Tarime, Meja Edward Gowele, kabla ya kwenda kuelimisha kuhusu masuala ya ...
No comments:
Post a Comment