
Mbunge wa Viti Maalum, Esther Matiko akipokea zawadi kutoka kwa Meneja wa TANROADS Mkoa wa Mara, Mhandisi Vedastus Maribe, wakati alipotembelea banda la maonesho ya Wizara ya Ujenzi kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma jana Jumatatu.
Bhoke Nyambari Nyangwine (katikati mbele) akiwa mwenye furaha baada ya kupokea Shahada ya Uzamili ya Sheria (LLM) katika Chuo Kikuu cha Manc...
No comments:
Post a Comment