NEWS

Tuesday 28 May 2024

RC Mara Kanali Mtambi awasili wilayani Rorya kwa ziara ya kikazi



Mkuu wa Mkoa (RC) wa Mara, Kanali Evans Mtambi (mwenye koti) amewasili wilayani Rorya mapema leo Jumanne kwa ajili ya kujitambulisha na kuzungumza na wananchi, ikiwa ni siku chache baada ya kufanya ziara kama hiyo wilayani Serengeti.

Amepokewa na Mkuu wa Wilaya, Juma Chikoka (mwenye suti ya bluu mbele) na viongozi wa chama tawala - CCM. Rorya ni miongoni mwa wilaya za mkoani Mara zinazopakana na Ziwa Victoria.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages