
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa (kushoto) akisalimiana na kufanya majadiliano mafupi na Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini, Prof Sospeter Muhongo ndani ya viwanja vya Bunge jijini Dodoma jana Jumatatu.
Mwenyekiti wa INEC Tanzania, Jaji wa Rufaa Jacobs Mwambegele. Na Mwandishi Wetu Dodoma ------------- Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), ...
No comments:
Post a Comment