
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa (kushoto) akisalimiana na kufanya majadiliano mafupi na Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini, Prof Sospeter Muhongo ndani ya viwanja vya Bunge jijini Dodoma jana Jumatatu.
Paul Chacha Makuri Na Mchambuzi Wetu, Serengeti Macho na masikio ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wananchi kwa ujumla kwa sasa y...
No comments:
Post a Comment