
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa (kushoto) akisalimiana na kufanya majadiliano mafupi na Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini, Prof Sospeter Muhongo ndani ya viwanja vya Bunge jijini Dodoma jana Jumatatu.
Dar es Salaam Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza rasmi matokeo ya mtihani wa Kidato cha Sita wa mwaka 2025, uliofanyika kuanzia...
No comments:
Post a Comment