![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjzJO6bSeQV0D1xudZrS60odQLXFi8beNR2NDZOLfu4GP4F3oLqRPrHuLZzmPtqE7pBeafhqwxoZ2zRIpjGW-OrUBaAnxdZwUyD0gN3rZQENPQ382sC7K0VqGsjaMVJlJJhVWAUfNBRr5mUiCZxIHU5YrQW3Ts4EJKhy3IYfUnbZvwaTXXN7gMxKOIfM9c/w426-h640-rw/Majaliwa.jpg)
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa (kushoto) akisalimiana na kufanya majadiliano mafupi na Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini, Prof Sospeter Muhongo ndani ya viwanja vya Bunge jijini Dodoma jana Jumatatu.
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha, Thomas Ole Sabaya (kulia) akionekana mwenye furaha alipokutana na Mwenyekiti mwenzake wa CCM Mkoa wa Mara,...
No comments:
Post a Comment