
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa (kushoto) akisalimiana na kufanya majadiliano mafupi na Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini, Prof Sospeter Muhongo ndani ya viwanja vya Bunge jijini Dodoma jana Jumatatu.
Wanafunzi wa Shule ya Msingi Kimusi wilayani Tarime wakipokea zawadi ya jezi za mpira kutoka AICT na Right to Play walioandaa matamasha ya m...
No comments:
Post a Comment