NEWS

Tuesday, 1 July 2025

Esther Matiko rasmi safari ya kuwania ubunge jimbo la Tarime Mjini kupitia CCM


Mwanasiasa maarufu Esther Matiko (kushoto), leo Julai 1, amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa kupeperusha bendara ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika kinyang'anyiro cha ubunge wa jimbo la Tarime Mjini katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika nchini Oktoba 2025. Anayemkabidhi fomu hiyo ni Kaimu Katibu wa CCM Wilaya ya Tarime, Nyasato Manumbu. (Picha na Mara Online News)
Read Also Section Example

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages