NEWS

Tuesday, 1 July 2025

Kada wa CCM Simon Chacha arejesha fomu ya kuwania ubunge jimbo la Tarime Vijijini


Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Simon Kemori Chacha (katikati), leo Julai 1, amerejesha kwenye Ofisi ya CCM Wilaya ya Tarime fomu ya kuomba uteuzi wa kugombea kiti cha ubunge jimbo la Tarime Vijijini katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika nchini Oktoba 2025. (Picha na Mara Online News)

Read Also Section Example

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages