NEWS

Tuesday 6 August 2019

NDEGE NDOGO YAANGUKA MAFIA



Watu kadhaa wamejeruhiwa katika ajali ya ndege ndogo  iliyokuwa ikiruka katika uwanja wa ndege wa Mafia leo lakini hakuna kifo ambacho kimeripotiwa, RPC wa Mkoa wa Kipolisi Rufiji  Onesmo Lyanga amethibitisha  kutokea kwa ajali hiyo.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages