NEWS

Monday 23 September 2019

AJALI YA NDEGE YAUA WAWILI SERENGETI


Ndege ndogo ambayo inamilikwa na kampuni ya Auric Air imeua watu wawili baada  kuanguka leo asubuhi Septemba 2019 katika uwanja wa ndege wa Seronera  ndani ya  Hifadhi ya  Taifa ya Serengeti(SENAPA), Shirika la  Hifadhi za Taifa(TANAPA)  limedhibithisha kutokea kwa ajali hiyo kupitia akaunti yake ya tweeter.
Rubani na abiria mmoja wamefariki dunia  katika ajali hiyo ambayo imetokea  saa moja asubuhi wakati  ndege hiyo ikiwa katika harakati za kuruka# Mara Online update 


No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages