Mkurugenzi
wa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti(DED) Eng Juma Hamsini ( wakwanza kushoto)
na viongozi wengine wa Wilaya ya
Serengeti wakipokea kitanda cha kisasa ikiwa ni sehemu ya msaada
uliotolewa kwa Hospitali mpya ya Wilaya ya Serengeti kampuni ya Hotels and Lodges . Serekali ya awamu ya tano imetoa shilingi
milioni 800 kuendeleza ujenzi wa
hospitali hiyo ambayo tayari imeanza kutoa baadhi ya huduma kwa wananchi, kwa mujibu wa DED Hamsini.
Post Top Ad
Your Ad Spot
Friday, 20 September 2019
HOSPITALI YA WILAYA YA SERENGETI
Tags
Habari picha#
Share This
About MARA ONLINE
Habari picha
Labels:
Habari picha
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a comment