NEWS

Tuesday 31 December 2019

TISA WAJERUHIWA TARIME



Na Mwandishi wetu, Tarime 
Watu Tisa wakiwemo wafanyabiashara wa kuku leo Disemba 31 wamejeruhiwa baada ya banda la  kuuza na kuhifadhi mbao lililopo ndani ya soko kuu mjini Tarime kuanguka.

Majeruhi wamekimbizwa katika hospitali ya Wilaya ya Tarime na zahanati ya SACHITA.

Mkuu wa Wilaya ya Tarime Mhandisi Mtemi Msafiri na  Kamanda wa Polisi Mkoa wa kipolisi TarimeRorya Henry Mwaibambe walifika katika eneo la tukio mara tu baada ya banda hilo kuanguka.

















1 comment:

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages