Mtendaji Mkuu wa Mara Online(CEO)Jacob Mugini (wapili
kulia) leo Januari 6,2020 ametembelea ofisi za CCM Wilaya ya Tarime na kufanya
mazungumzo na katibu wa CCM Wilaya hiyo Mkaruka Kura( mwenye kofia) pamoja Katibu Mwenezi wa CCM Wilaya ya Tarime Malema
Sollo( watatu kutoka kushoto)#Mara Online News Updates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment