Kamanda wa polisi Mkoa wa Kipolisi TarimeRorya(RPC)
William Mkonda akipokea msaada wa mifuko ya saruji 50 leo Februari 19,2020 kutoka kwa mdau wa maendeleo Simon Kiles maarufu kwa jina la ‘K’ ambaye ni mfanyabiashara katika mji wa Tarime Mkoani Mara.Saruji hiyo
itatumika kukamilisha ujenzi wa kituo cha polisi cha Borega na wakwanza kushoto ni OCD wa Tarime SSP Ramadhan Sarige #MaraOnline Updates
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot

No comments:
Post a Comment