NEWS

Thursday 16 April 2020

Vita ya COVID-19: Malima aagiza magari ya abiria kunawisha mikono



Mkuu wa Mkoa wa Mara, Adam Malima leo April 16, 2020 amezindua kazi ya unyunyuziaji dawa ya kuzuia maambukizi ya virusi vya Corona (COVID-19) na kuagiza kila gari la abiria kuwa na huduma ya kunawa mikono kwa abiria.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages