Wednesday, 16 June 2021
Home
Habari picha
MKUU mpya wa Mkoa (RC) wa Mara, Ally Salum Hapi ameripoti mkoani humo leo Juni 16, 2021 na vipaumbele vyake kuwa ni kutatua migogoro ya ardhi, kupiga vita vitendo vya rushwa, ubadhirifu wa mali za umma na uzembe kwa watumishi wa Serikali.
MKUU mpya wa Mkoa (RC) wa Mara, Ally Salum Hapi ameripoti mkoani humo leo Juni 16, 2021 na vipaumbele vyake kuwa ni kutatua migogoro ya ardhi, kupiga vita vitendo vya rushwa, ubadhirifu wa mali za umma na uzembe kwa watumishi wa Serikali.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot

No comments:
Post a Comment