KUNDI la watalii wa ndani ambao ni wataalamu wa ustawi wa jamii kutoka mikoa mbalimbali nchini ikiwemo Dar es Salaam, wakifurahia picha ya pamoja ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Serengeti, Jumapili iliyopita.
#MaraOnlineNews-Updates
Waziri wa Maji, Jumaa Aweso (kushoto), akiongoza kikao na Menejiment ya MWAUWASA jijini Mwanza, mapema leo. Na Mwandishi Wetu Mwanza -------...
No comments:
Post a Comment