Katibu wa CCM Mkoa wa Mara, Langaeli Akyoo (kushoto), leo amekutana na Wahariri wa Gazeti la Sauti ya Mara ofisini kwake na kufanya mazungumzo maalumu kuhusu namna nzuri ya kuendeleza ushirikiano katika masuala ya maendeleo ya kisekta mkoani. Kulia ni Mhariri Mtendaji, Jacob Mugini akimkabidhi nakala ya toleo la wiki hii la gazeti hilo. (Picha na Mara Online News)
Tuesday, 18 January 2022
Katibu wa CCM ateta na Sauti ya Mara
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment