
JESHI la Polisi mkoani Arusha limetangaza kumshikilia Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tanzania Bara, Tundu Lissu (pichani) na wezake watatu, likiwatuhumu kutenda makosa mbalimbali ya uvunjifu wa sheria.

Wachezaji wa timu ya Serengeti Boys wakimdhibiti mchezaji wa Misri katika mchezo wa nusu fainali ya AFCON U-17, mjini Rabati, jana Alhamisi....
No comments:
Post a Comment