
JESHI la Polisi mkoani Arusha limetangaza kumshikilia Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tanzania Bara, Tundu Lissu (pichani) na wezake watatu, likiwatuhumu kutenda makosa mbalimbali ya uvunjifu wa sheria.

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa (JKT), Dkt. Rhimo Simeon Nyansaho, akipanda mti wa kumbukumbu makao makuu ya JKT, jijini Dodoma. ...
No comments:
Post a Comment