
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt Doto Biteko, leo Oktoba 7, 2023 amezuru na kufanya sala kwenye kaburi la aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dkt John Pombe Magufuli nyumbani kwake Chato, mkoani Geita.

Mwenyekiti wa MRPC, Mugini Jacob, akifungua Mkutano Mkuu Maalum wa klabu hiyo kwenye Hoteli ya Goldland mjini Tarime, Mara jana Septemba 16,...
No comments:
Post a Comment