
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt Doto Biteko, leo Oktoba 7, 2023 amezuru na kufanya sala kwenye kaburi la aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dkt John Pombe Magufuli nyumbani kwake Chato, mkoani Geita.

Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara, Ghati Zephania Chomete na mume wake, Marwa Mathayo wakizungumza katika Bima ya Afya kwa Wote na harambee...
No comments:
Post a Comment