NEWS

Friday, 12 June 2026

Chichake ashiriki hafla ya uzinduzi wa majaribio ya kuruka na kutua kwa ndege Uwanja wa Musoma



Waziri wa Uchukuzi, Prof, Makame Mnyaa Mbarawa (aliyevaa miwani na shati jeupe), akisalimiana kwa kushikana mikono na kada wa CCM, Nicolaus Mahando Mgaya - maarufu kwa jina la Chichake ambaye pia ni Mkurugenzi wa Kemanyanki Contractors Manpower and Supply Company Ltd, wakati wa hafla ya uzinduzi wa majaribio ya kuruka na kutua kwa ndege katika Uwanja wa Ndege Musoma, jana Juni 12, 2026.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages