NEWS

Sunday, 14 June 2026

Waziri Aweso kuanza ziara kukagua hali ya upatikanaji maji mkoani Mwanza kesho



Waziri wa Maji Jumaa Aweso

Na Mwandishi Wetu

Waziri wa Maji, Jumaa Aweso, kesho Jumatatu anatarajia kuanza ziara ya kukagua hali ya upatiikanaji wa huduma ya maji mkoani Mwanza na utekelezaji wa miradi katika sekta hiyo.

Waziri Aweso ataitumia fursa hiyo pia kusikiliza changamoto zinazowakabili wananchi na kubuni mbinu za kuboresha huduma hiyo mkoani Mwanza

Lengo kubwa la Wizara ya Maji ni kuhakikisha kwamba wananchi wanapata huduma ya maji safi na salama mijini na vijijini, kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kitengo cha Mawasiliano cha wizara hiyo.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages