NEWS

Wednesday, 1 July 2026

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu awasili mkoani Mara kwa ziara ya kikazi



Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba (aliyevaa skafu), akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mara, Patrick Chandi na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Rhimo Nyansaho, mara ya baada ya kiongozi huo wa kitaifa kuwasili mkoani kwa ziara ya kikazi leo Julai 1, 2026.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages