NEWS

Monday, 24 August 2026

Rais Samia ateta na Rais wa Taasisi ya Maendeleo ya Diaspora wa Kiafrika


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan (kulia), akiwa na Rais wa Taasisi ya Maendeleo ya Diaspora wa Kiafrika (ADDI), Balozi Dkt. Arikana Chihombori-Quao, baada ya mazungumzo, Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Jumatatu, Agosti 24, 2026.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages