
Makamu wa Rais, Deogratius Ndejembi, akimfariji Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kufuatia kufiwa na mume wake, Hafidh Ameir Hassan, alipofika katika makazi yake, Kizimkazi, mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar, jana Jumatatu, Septemba 7, 2026.
No comments:
Post a Comment