
Mkuu wa Mkoa wa Mara, Brigedia Jenerali Evans Mtambi, akiwa na mke wake (waliosimama), wamefika Kizimkazi, mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar, leo Sepotemba 14, 2026 kwa niaba ya wana-Mara kumpa pole Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kufuatia kifo cha mume wake, Hafidh Ameir Hassan, kilichotokea hivi karibuni.

No comments:
Post a Comment