NEWS

Sunday 26 April 2020

Muhongo aendelea kuchangia ujenzi ofisi ya CCM Musoma Vijijini



Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini katika mkoa wa Mara, Profesa Sospeter Muhongo, ametumia zaidi ya milioni 10 kuchagia ujenzi wa ofisi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Musoma Vijijini katika kijiji cha Murangi.

Pamoja na shughuli nyingine, fedha hizo zimetumika kugharimia ufyatuaji na umwagiliaji matofali (Sh milioni moja), ununuzi wa saruji mifuko 200 (Sh milioni nne) na malipo ya fundi (Sh milioni nne).

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages