NEWS

Saturday, 16 May 2026

Rais Samia, bilionea Dangote wafanya mazungumzo Ikulu


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya mazungumzo na Mwanzilishi na Mmiliki wa Dangote Group, Aliko Dangote, Ikulu jijini Dar es Salaam, Mei 16, 2026.
Rais Samia akiwa na Dangote (wa pili kushoto), Makamu wa Rais wa Dangote Group anayeshughulikia Mafuta na Gesi, Edwin Devakumar na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA), Gilead Teri.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages