NEWS

Friday 15 May 2020

TRA yateketeza bidhaa za mamilioni


 MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Mara imeteketeza kwa moto bidhaa mbalimbali zenye thamani ya Sh milioni 292.3 zilizoingizwa nchini kwa magendo na nyinyine zikiwa hazina viwango vya ubora unaotakiwa.
 
Meneja wa TRA Mara Wallace Mnkande akiongoza zoezi la kuteketeza bidhaa hatari  
Akizungumza mara baada ya uteketezaji wa bidhaa hizo mjini Musoma  jana Mei 15, 2020, Meneja wa TRA Mara, Wallace Mnkande amewataka wafanyabiashara kuacha kasumba ya kuingiza bidhaa nchini kinyume cha sheria.

(Habari na Frankius Cleophace)

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages