Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mwita Waitara (mwenye kofia katikati), wiki iliyopita alikagua maendeleo ya ujenzi wa nyumba ya mganga wa zahanati ulianzishwa na wakazi wa kijiji cha Kobori wilayani Tarime, Mara na kuchangia ujezi huo Sh milioni moja. (Na Mpigapiche Wetu)
Wednesday, 27 May 2020
WAITARA APIGA JEKI UJENZI NYUMBA YA MGANGA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot

No comments:
Post a Comment