NEWS

Monday 20 July 2020

Klabu ya Wanahabari Mwanza yazindua blogu yake

Viongozi wa TCRA, UTPC na MPC katika hafla ya uzinduzi wa blogu ya Mwanza Press Club
KLABU ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Mwanza (MZA) leo Jumatatu Julai 20, 2020 imezidua blogu yake inayoitwa Mwanza Press Club kwa ajili ya kutumiwa na wanachama wa klabu hiyo kuandika habari na makala mbalimbali za ndani na nje ya mkoa huo.

Mgeni rasmi katika hafla hiyo iliyofanyika ukumbi wa Nyanza jijini Mwanza amekuwa Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Ziwa, Mhandisi Francis Mihayo, ambapo pia Mkurugenzi wa Muungano wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC), Abubakar Karsan na Mwenyekiti wa MPC, Edwin Soko, walihudburia.#Mara Online News

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages