NEWS

Saturday 5 March 2022

Afisa Maliasili Halmashauri Tarime Vijijini afika Mara Online jioni hii kununua tiketi kwa ajili ya watalii wa ndani Hifadhi ya Serengeti


AFISA Maliasili wa Halmashauri ya Wilaya ya Tarime (Vijijini), Njonga William (pichani juu kulia), leo jioni hii amefika ofisi za Mara Online kununua tiketi kwa ajili ya watalii wa ndani watakaotembelea Hifadhi ya Taifa ya Serengeti kesho Machi 6, 2022. Anayemkabidhi tiketi hizo ni CEO Mara Online na Mhariri Mtendaji wa Gazeti la Sauti ya Mara, Jacob Mugini.

#MaraOnlineNews-Updates

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages