Mbunge wa Jimbo la Ukonga, Mwita Waitara amefika mbele ya Kamati ya Maadili ya CCM Mkoa wa Mara jioni ya leo Machi 25, 2020 kuitikia wito wa Mwenyekiti wa chama hicho, Samwel Kiboye. Haikujulikana mara moja ameitwa kujibu mambo gani.
Post Top Ad
Your Ad Spot
Wednesday, 25 March 2020
Mbunge wa Ukonga mikononi mwa Kamati ya Maadili CCM Mara
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a comment