NEWS

Tuesday 7 April 2020

CAG Tanzania awasilisha bungeni ripoti ya ukaguzi



MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, Jumatatu Aprili 6, 2020  amewasilisha katika Bunge la Tanzania ripoti yake ya ukaguzi kwa mwaka wa fedha wa 2018/2019.

Kwa mujibu ripoti hiyo, ofisi ya CAG imetoa hati 1,082 za ukaguzi, kati ya hizo, zinazoridhisha ni 1,017 (sawa na asilimia 94), zenye shaka ni 46 (sawa na asilimia 4.25), zisizoridhisha ni saba (sawa na asilimia 0.64) na mbaya 12 (sawa na asilimia 1.11).

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages