NEWS

Sunday 12 April 2020

Muhongo agawia vijiji plau 25 Sikukuu ya Pasaka


Katika kusherehekea Sikukuu ya Pasaka leo Aprili 12, 2020 Mbunge wa Musoma Vijijini mkoani Mara, Profesa Sospeter Muhongo amegawa msaada wa majembe 25 ya kukokotwa na ng’ombe (plau) kwa vikundi 25 vya wakulima katika vijiji 25 jimboni humo.


Lengo la plau hizo ni kuwawezesha wakulima wa vijiji hivyo kuondokana na jembe la mkono, hivyo kuongeza uzalishaji wa mazao na kujitosheleza kwa chakula.   

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages