NEWS

Friday 5 June 2020

CCM Tawi la China latoa msaada wa kukabili Corona Ilala

Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Mhe. Sophia Mjema (katikati) Leo Juni 05/2020 amepokea mchango wa barakoa kutoka kwa Tawi la CCM China, makabidhiano hayo yamefanywa  na Viongozi wa Tawi la CCM China yakiongozwa na Mwenyekiti wa Tawi CCM China ndugu Salum Ramia, Katibu wa Tawi hilo ndugu Yazid Iddi katika ofisi za Wilaya ya Ilala huku yakishuhudiwa na viongozi wa CCM wa Wilaya ya Ilala, UVCCM Wilaya ya Ilala na wanachama wa Tawi la CCM-China (PICHA NA HERI SHAABAN)

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages