NEWS

Wednesday 15 July 2020

Dkt Calvin Mwasha achukua fomu ya ubunge Hai

KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Calvin Mwasha (kulia), leo Julai 15, 2020 amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kupeperusha bendera ya chama hicho katika kinyang'anyiro cha ubunge wa jimbo la Hai mkoani Kilimanjaro, amekabidhiwa fomu hiyo na Katibu wa CCM Wilaya ya Hai, Kumotola Lawrence Kumotola (kushoto). #Mara Online News

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages