Wafanyakazi wa Frankfurt
Zoological Society (FZS) Ofisi za Serengeti na wanachama wa Benki
za Hifadhi za Jamii (COCOBA) wakiwa
katika maonesho ya Nane Nane katika
viwanja vya Nyakabindi mkoani Simiyu hivi karibuni ambapo walitumia fursa hiyo kujenga mtandao
wa soko la asali inayozalishwa na vikundi vya COCOBA ambavyo vimeanzishwa kwa msaada wa FZS katika eneo la ikolojia ya Serengeti . Hadi sasa zaidi
ya wanachama 2,400 wengi wao wakiwa wanawake wamefikiwa na mfumo huo wa COCOBA ambao
pia unasadia kunahamasisha uhifadhi endelevu katika ikolojia ya Serengeti.
Post Top Ad
Your Ad Spot
Thursday, 13 August 2020
Vikundi vya COCOBA vyasaka soko la asali Nane Nane Simiyu
Tags
CONSERVATION#
Share This
About MARA ONLINE
CONSERVATION
Labels:
CONSERVATION
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a comment