
Aidha, wadau hao wamejadili kuhusu suluhusho la migogoro hiyo, huku maofisa wa LHRC wakitumia nafasi hiyo pia kuwakumbusha kutumia fursa zilizopo kupata ruzuku zinazotolewa na mradi huo.
Mradi huo wa Jenga Amani Yetu unatekelezwa na LHRC kwa ushirikiana na ZLSC na SFCG, kwa ufadhili wa Umoja wa Ulaya (EU).
MaraOnlineNews-Updates
MaraOnlineNews-Updates
No comments:
Post a Comment