Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mara, Patrick Chandi Marwa ni miongoni mwa viongozi waliopo kwenye msafara wa Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo katika ziara nchini China, ambapo pamoja na mambo mengine, wametembelea Shule Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha Watu wa China (CPC).
Sunday, 23 April 2023
Chandi aungana na Katibu Mkuu wa CCM Chongolo ziarani China
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot

No comments:
Post a Comment