Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan akikata utepe kufungua rasmi jengo la ukumbi wa kufanyia mitihani na chumba cha kompyuta katika Skuli ya Sekondari ya Muyuni mkoani Kusini Unguja, Zanzibar jana, lililojengwa kwa ufadhili wa Benki ya Azania. Ufunguzi huo ni mwendelezo wa shamrashamra za kuelekea kilele cha Tamasha la Kizimkazi. Kushoto kwa Rais ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Esther Mang'enya. (Na Mpigapicha Wetu)
Wednesday, 30 August 2023
Home
HABARI PICHA.
Rais Samia afungua jengo la ukumbi wa mitihani, chumba cha kompyuta Skuli ya Sekondari ya Muyuni mkoani Kusini Unguja
Rais Samia afungua jengo la ukumbi wa mitihani, chumba cha kompyuta Skuli ya Sekondari ya Muyuni mkoani Kusini Unguja
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.
No comments:
Post a Comment