
Sehemu ya makada wa chama tawala - CCM wakifurahia mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Abdulrahman Kinana kwenye ukumbi wa Blue Sky wilayani Tarime, Mara, hivi karibuni. (Picha na Mara Online News)
Kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Mara kilichofanyika mjini Musoma jana na kuikataa bajeti ya barabara ya Hifadhi ya Taifa Serengeti Na Mwa...
No comments:
Post a Comment