
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akimuapisha Hamza Saidi Johari kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma leo Novemba 5, 2025.
Baraza la Mitihani la Taifa Tanzania (NECTA) limetangaza rasmi Matokeo ya Darasa la Saba 2025/2026 (PSLE) leo, tarehe 5 Novemba 2025, jijini...
No comments:
Post a Comment