
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akimuapisha Hamza Saidi Johari kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma leo Novemba 5, 2025.
Katibu Mtendaji wa NECTA, Prof. Said Mohamed, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani). Na Mwandishi Wetu Dar es Salaam ---------...
No comments:
Post a Comment