NEWS

Sunday, 7 December 2025

Wenyeviti wapya wa halmashauri za Mara hawa hapa



Mwenyekiti mpya wa Halmashauri ya Wilaya ya Tarime, Matera Newland Chacha.

Na Mwandishi Wetu
Mara
---------

Wiki iliyopita, kama ilivyofanyika katika mikoa mingine nchini, madiwani wa mkoani Mara walichagua wenyeviti wapya watakaoongoza halmashauri zao kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.

Baadhi ya wenyeviti hao na halmashauri zao zikiwa kwenye mabano ni Matera Newland Chacha (Wilaya ya Tarime), Masalo Minza Shani (Mji wa Bunda), Ayub Mwita Makuruma (Wilaya ya Serengeti) na Renatus Majungu (Wilaya ya Bunda).


Masalo Minza Shani - Mji wa Bunda

Wenyeviti wapya wengine ni Solomon Ihare Mabati (Wilaya ya Rorya), Samwel Maregesi (Wilaya ya Musoma), Thobias Ghati (Mji wa Tarime), George Nyamaha (Wilaya ya Butiama) na Alex Mtake Nyabiti (Meya - Manispaa ya Musoma).


Ayub Mwita Makuruma - Wilaya ya Serengeti


Alex Mtake Nyabiti (Meya - Manispaa ya Musoma)


Thobias Ghati - Mji wa Tarime


Solomon Ihare Mabati - Wilaya ya Rorya

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages