NEWS

Monday, 20 April 2026

Rais Samia ateta na Mlezi wa Mtandao wa Wanawake Viongozi Afrika

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan (kulia), akisalimiana na Mlezi wa Mtandao wa Wanawake Viongozi Afrika (AWLN), Rais mstaafu wa Jamhuri ya Liberia, Ellen Johnson Sirleaf, mara baada ya kuwasili Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Aprili 20, 2026. (Picha na Ikulu)

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages