
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan (kulia) na mgeni wake, Rais wa Jamhuri ya Namibia, Dkt.Netumbo Nandi-Ndaitwah, wakishuhudia utiaji saini wa hati nne za makubaliano ya ushirikiano katika sekta za biashara, maendeleo ya biashara ndogo na za kati, ulinzi na ushirikiano wa miji kati ya Manispaa ya Mji wa Zanzibar na Manispaa ya Swakopmund, tukio lililofanyika Ikulu jijini Dar-es-Salaam, Juni 20, 2026.

(Picha zote na Ikulu)
No comments:
Post a Comment