NEWS

Thursday 16 July 2020

Chief Mosabi ajitosa udiwani Kisangura

MJUMBE wa Mkutano Mkuu wa UVCCM Mkoa wa Mara na Afisa Habari wa CCM Wilaya ya Serengeti, Chief Mosabi (pichani), jana Julai 15, 2020 amechukua na kurudisha fomu ya kuomba ridhaa ya kupeperusha bendera ya chama hicho katika kinyang'anyiro cha nafasi ya udiwani katika kata ya Kisangura, Serengeti.#Mara Online New

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages