
Mfanyabiashara, mwandishi na mchapishaji maarufu wa vitabu Tanzania, Nyambari Nyangwine (wa tano kulia pichani juu), amewasili nchini India kwa ziara ya siku nane ya kibiashara akiwa ameambatana na baadhi ya wafanyakazi wake, leo Julai 20, 2024.
Katika ziara hiyo, Nyambari ambaye ni Mwenyekiti wa Nyambari Nyangwine Group of Companies Ltd (NNGCL), amepokewa na wenyeji wake India na kutumia fursa hiyo kutangaza kwao bidhaa mbalimbali za Tanzania.

Nyambari Nyangwine (mwenye kofia) akitangaza bidhaa za Tanzania kwa wafanyabiashara wa India mara baada ya kuwasili nchini humo kwa ziara ya siku nane ya kibiashara.
UNAWEZA PIA KUSOMA:
- 1.Serikali ya Rais Samia yatangaza nafasi za ajira za walimu 11,000
- 2.Balozi Mbarouk amwandikia Spika barua ya kujiuzulu ubunge
- 3.Maswi, Ridhiwan wang’ara teuzi za Rais Samia, Nape na Makamba wavuliwa uwaziri, Mashinji na Afraha wahamishwa Serengeti
- 4.Biden ajiondoa kwenye kinyang’anyiro cha urais Marekani
- 5.Sababu za Halmashauri ya Serengeti kupata hati ya ukaguzi yenye mashaka
- 6.Rais Samia atembelea Sekondari ya Seminari ya Kaengesa mkoani Rukwa
No comments:
Post a Comment