
Mkuu wa Wilaya ya Tarime, Meja Edward Flowin Gowele (kushoto) akisalimiana na Katibu wa CCM Mkoa wa Mara, Ibrahim Mjanaheri wakati alipokwenda kujitambulisha rasmi katika ofisi za chama hicho tawala mjini Musoma, mapema leo Septemba 11, 2024.
Simba wakifurahia mazingira hai katika Hifadhi ya Taifa Serengeti Na Mwandishi Wetu Arusha -------------- Kwa kipindi cha miaka 10 iliyopita...
No comments:
Post a Comment