
Mkuu wa Wilaya ya Tarime, Meja Edward Flowin Gowele (kushoto) akisalimiana na Katibu wa CCM Mkoa wa Mara, Ibrahim Mjanaheri wakati alipokwenda kujitambulisha rasmi katika ofisi za chama hicho tawala mjini Musoma, mapema leo Septemba 11, 2024.
Mkuu wa Wilaya ya Tarime, Meja Edward Gowele, akifungua semina ya mafunzo kwa bodaboda katika mji mdogo wa Sirari. Na Godfrey Marwa Tarime -...
No comments:
Post a Comment